Ibraah Tz "Siwezi kuwa na Jacqueline Wolper"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa lebo ya Konde Gang Music Ibraah Tz "Chinga" amesema hawezi kuwa kwenye mahusiano na Jacqueline Wopler kwa sababu anamchukulia kama mama yake japokuwa Harmonize alimpigia pande ili awe nae kwenye mahusiano. 


Akizungumzia suala hilo la kupigiwa pande na Harmonize ili awe kwenye mahusiano na Wolper, Ibraah Tz amesema anamchukulia msanii huyo wa filamu kama mama yake na yeye bado yupo single. 


"Ule ulikuwa ni utani tu unajua kuna muda kaka natakiwa ni-enjoy naye, haiwezi kuwa mimi nitoke na Jacquline Wolper yule ni mama yangu ananisapoti kwa hiyo namshuru sana sapoti yake ni kubwa kwangu, bado sina mahusiano nikiwa nayo nitaweka wazi na watu watajua" ameeleza Harmonize "


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad