Idadi ya watu walokufa baada ya kuporomoka kwa jengo nchini China yafikia 29

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



 Serikali ya China imesema idadi ya vifo vilivyotokana na kuporomoka kwa jengo la mgahawa la ghorofa mbili huko katika jimbo la kaskazini la Shanxi imeongezeka na kufikia Watu 29, Watu wengine 28 wamejeruhiwa, wakiwemo 7 ambao wapo katika hali mbaya zaidi. 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad