Ijue Kauli Mbiu ya CHADEMA, Lissu Aifafanua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mgombe wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameweka wazi kuwa kauli mbiu itakoyobeba ilani yao ya chama ni Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watanzania.


Amesema hayo hii leo Agosti 29, 2020, wakati wa uzinduzi wa kampeni za chama hicho kwa Jimbo la Kawe, ambapo amesema, chochote kilichopo kwenye ilani kinabeba msingi wa kauli mbiu hizo..

"Ilani yetu ya Uchaguzi Mkuu huu ina kauli mbiu yenye maneno yafuatayo, Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu, chochote ambacho tumekisema katika ilani hii msingi wake ni uhuru wa watu msingi wa watu na maendeleo ya watu", amesema Lissu.

Aidha Tundu Lisuu amesema kuwa maendeleo wanayaoyataka yatazingatia uhuru, haki na maendeleo ya Watanzania kama yale aliyoyaita Baba wa Taifa maendeleo ya watu.

"Maendeleo tunayoyataka ni yanayozingatia uhuru wa watu, yanayozingatia haki zao, maendeleo aliyoyaita Baba wa Taifa maendeleo ya watu badala ya vitu", ameongeza.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad