India: Kisanduku cheusi chapatikana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mkurugenzi mkuu wa shirika la ndege la India Express ambalo ndege yake ilipata ajali kwenye jimbo la kusini mwa India ameliambia shirika la habari la Reuters leo Jumamosi kwamba kisanduku cheusi cha kunakili taarifa za safari ya ndege kimepatikana. 

Ndege hiyo ilikuwa ikiwarudisha raia wa India waliokuwa wamekwama Dubai tangu kuanza mlipuko wa COVID-19, iliteleza na kupitiliza barabara ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kalicut kutokana na mvua kubwa karibu mji huo wa kusini mwa India wa Kozhikode hapo jana Ijumaa. 


idadi ya vifo imeongezeka na kufikia watu 18. Watu wengine 16 walijeruhiwa vibaya kwenye ajali hiyo. Maporomoko ya udongo na mafuriko ni jambo la kawaida wakati wa msimu wa mvua kubwa zinazonyesha kati ya miezi ya Juni na Septemba.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad