AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Usiku wa kuamkia leo Jarida la Forbes limemtaja Bezos ambaye ni mwanzilishi wa kampuni ya Amazon kuwa amefikisha utajiri wa ($204 Billion) hivyo kumfanya kuwa mtu wa kwanza kuwa na utajiri huo wa fedha. Soko la hisa la Amazon limepaa kwa asilimia 2 jana mchana na kutengeneza kiasi cha $4.9 Bilioni.
Kwa sasa amekalia namba 1 kwenye orodha ya matajiri wa dunia akiwa na utajiri wa ($204.6 Billion) sawa na TSH. Trilioni 473, akimuacha Bill Gates kwa kiasi cha ($90 Billion) Gates kwa sasa ana utajiri wa ($116.1 Billion)
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK