Jeff Bezos Aweka Rekodi ya Dunia Amekuwa Mtu wa Kwanza Kuwa na Utajiri wa $200B

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Uko wapi ndugu yangu? Kama umekaa kizembe muda huu basi fahamu kwamba Jeff Bezos ameandika rekodi ya dunia kwa kuwa mtu wa kwanza kufikisha utajiri wa ($200 Billion)

Usiku wa kuamkia leo Jarida la Forbes limemtaja Bezos ambaye ni mwanzilishi wa kampuni ya Amazon kuwa amefikisha utajiri wa ($204 Billion) hivyo kumfanya kuwa mtu wa kwanza kuwa na utajiri huo wa fedha. Soko la hisa la Amazon limepaa kwa asilimia 2 jana mchana na kutengeneza kiasi cha $4.9 Bilioni.

Kwa sasa amekalia namba 1 kwenye orodha ya matajiri wa dunia akiwa na utajiri wa ($204.6 Billion) sawa na TSH. Trilioni 473, akimuacha Bill Gates kwa kiasi cha ($90 Billion) Gates kwa sasa ana utajiri wa ($116.1 Billion)
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad