AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Rais aliniamini na kuamini ninachofanya ni kwa faida ya Watanzania na tukaibuka kidedea dhidi ya mapambano ya Dawa za Kulevya, JPM ni Rais msikivu kwangu tena mnyenyekevu na Mcha Mungu ambaye daima nitaendelea kumuenzi kwa vitendo” - aliyekuwa RC DSM Paul Makonda akikabidhi ofisi kwa RC Kunenge
"Hata napotoka katika ofisi hii JPM bado ni Role Model wangu, juzi mmoja Mtu nilimwambia msithubutu kumchezea Dkt.Magufuli mkafikiri Makonda hatomtetea kwasababu hayupo kwenye kiti cha U-RC, nilikuwa jeshini ninazo medali za kivita, ni Askari aliyeko Backbencher lakini mwenye
uwezo mkubwa wa kupigana vita yoyote, RC, Mambosasa na Timu yenu mkihitaji uzoefu wangu katika mapambamo ya kumtetea JPM hata saa tisa usiku nitanyanyuka"-MAKONDA
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK