google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Jux awa msanii wa kwanza kupata tuzo baada ya albamu ya ‘The Love’ kufikisha streams 1,000,000 | UDAKU SPECIAL

Jux awa msanii wa kwanza kupata tuzo baada ya albamu ya ‘The Love’ kufikisha streams 1,000,000

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Msanii wa muziki @juma_jux wiki hii amepokea tuzo baada ya albamu yake ya The Love Albam kupata streams 1,000,000 kupitia platform ya muziki ya BoomPlay.


Muimbaji huyo ameandika ujumbe huu “Nawashukuru sana mashabiki zangu kwa kuendelea kuonyesha upendo kwa kusikiliza albamu yangu ya kwanza, “The Love Album” mpaka kufikisha streams 1,000,000 kwenye app ya Boomplay. Naishukuru pia timu yangu iliyokuwa nami kipindi chote toka nilipokuwa na wazo tu la kufanya albamu mpaka kuwa albamu iliyopata mafanikio mengi. Nawashukuru sana na nitaendelea kuwapa kazi bora,”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad