AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wengi walimtuhumu Kanye kutumika kuzigawa Kura za watu weusi kati yake na Joe Biden ili kumpa ushindi kirahisi Rais Donald Trump. Kanye West hana nia ya kushindania kiti cha Urais.
Baada ya mjadala huo, Kanye aliibuka na kujibu tuhuma hizo kupitia mahojiano ya njia ya ujumbe mfupi aliyofanya na Forbes. Alisema anaenda kushinda uchaguzi na sio kufifisha Kura za Biden ili Trump ashinde kwa awamu ya pili.
"Walking, walking.... to win" alisema Ye.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK