Kanye Adaiwa Kutumiwa na Donald Trump ili Kuzigawa Kura za Urais Nchini Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jana uliibuka mjadala wa wanahabari toka vyombo mbali mbali vya habari nchini Marekani, wakijadili kuhusu Kanye West na nia yake ya kuutaka Urais wa Marekani mwaka huu.

Wengi walimtuhumu Kanye kutumika kuzigawa Kura za watu weusi kati yake na Joe Biden ili kumpa ushindi kirahisi Rais Donald Trump. Kanye West hana nia ya kushindania kiti cha Urais.

Baada ya mjadala huo, Kanye aliibuka na kujibu tuhuma hizo kupitia mahojiano ya njia ya ujumbe mfupi aliyofanya na Forbes. Alisema anaenda kushinda uchaguzi na sio kufifisha Kura za Biden ili Trump ashinde kwa awamu ya pili.

"Walking, walking.... to win" alisema Ye.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad