Khadija Kopa Aanika SIRI za Zuchu "Ana Hasira za Haraka Haraka Sana Mwanangu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MAMA mzazi wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Zuhura Othman Kopa ‘Zuchu’, Khadija Kopa amefichua siri kumhusu bintiye kwamba ana hasira za haraka pindi mtu anapomkera.

Akipiga stori mbili tatu na Risasi Vibes, Malkia huyo wa Mipasho Bongo, alisema kwamba alimlea mwanaye katika mazingira bora na ya kujituma, lakini mbali na vyote hivyo, mtoto wake amekuwa ni mtu mwenye hasira za karibu pindi inapotokea kakasirishwa.
17h
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad