Kijana Awa Mzigo Kwa Familia Baada ya Kuuza FIGO yake Moja ili Kununua Simu ya Iphone

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Huyu ndiye Wang Shangkun raia wa China ambaye alipokuwa na miaka 17 aliuza figo moja na fedha akanunua iPhone 4 na iPad 2. Miaka 8 baadaye, figo alilobaki nalo likashindwa kufanya kazi, sasa ana miaka 25, amelala kitandani hawezi tena kutembea, amekuwa mzigo kwa familia yake.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Figo ikibaki moja inatakiwa uangalifu wa hali ya juu hasa upande wa vyakula na vinywaji sasa ukianza kuichosha hiyo figo moja ifanye kazi ya figo mbili ni lazima itafeli.

    ReplyDelete

Top Post Ad