AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Huyu ndiye Wang Shangkun raia wa China ambaye alipokuwa na miaka 17 aliuza figo moja na fedha akanunua iPhone 4 na iPad 2. Miaka 8 baadaye, figo alilobaki nalo likashindwa kufanya kazi, sasa ana miaka 25, amelala kitandani hawezi tena kutembea, amekuwa mzigo kwa familia yake.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Figo ikibaki moja inatakiwa uangalifu wa hali ya juu hasa upande wa vyakula na vinywaji sasa ukianza kuichosha hiyo figo moja ifanye kazi ya figo mbili ni lazima itafeli.
ReplyDelete