Kila Mwanaume Anaye Lala na Mimi Harudii Tena na wala Simu zangu Hapokei

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kila Mwanaume Anaye Lala na Mimi Harudii Tena na wala Simu zangu Hapokei

Mimi  ni  mwanamke.Naomba msaada wa  mawazo  maana  sijui nina nini mimi...
Umri unanitupa mkono maana nakaribia miaka 35 lakini sijampata aliyewahi kunitangazia ndoa.Cha ajabu kila anayelala na mimi siku ya pili harudii tena na hata nikimpigia simu hapokei


Hapo ndo linapoanzia tatizo na  kunifanya nijisikie vibaya...Saivi  hata mtaani nachagua kwa kupita...
Kuna mwanaume mmoja huyo ndo aliwahi kunichana live kuwa nina maji mengi ila sielewi alimaanisha nini

Jamani naomba msaada nifanyaje mie nipendwe kama wengine
Hide My Name.


Habari za Michezo : Soka Tanzania

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

18 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. daaaaah! pole aiseeee, kama vp nenda kaonane na daktar bingwa wa magonjwa ya wanawake anaweza kukusahidia!

    ReplyDelete
  2. Njoo kwang me nitarudia mda wwote utakapo penz lang ucjal find on fb Hansen mtutuma nimeumbwa kwa ajila yenu galz

    ReplyDelete
  3. pole dada dawa zipo na utapona nenda hospitali kapate ushauri wa doktari

    ReplyDelete
  4. maji wala sio tatizo tena ndo yenyewe hayo, huyo anaelalamikia maji mengi hajui mambo.akienda kwa wataalam wa katerero atachekwa, kila mtu anataka kumwaga maji au mautelezi.ukubwa sio hoja pia hao unaowapata hawana utaalam tu. na je wewe unaridhika wakikupitia?????? au na wewe unawapa ilimradi tu

    ReplyDelete
  5. **Pole sister check na doctor mwenye number 0763222246 or 0712100300 Dr. Ndodi tatizo lako litakwisha**

    ReplyDelete
  6. Haa mm ninavyopenda hiyo mimaji?

    ReplyDelete
  7. Ukweli ni kuwa maji au ukubwa wa hiyo kitu si tatizo!! kitaalamu; hiyo kitu hufuata saizi ya ndude, cheza na misuli ya ndani na onyesha ufundi, hata hivyo nadhani hujui kucheza na akili za manaume, kwani ndio kila kitu kinakoanzia, kajifunze Tanga na mwisho murudie muumba wako!

    ReplyDelete
  8. Pole sana sister nenda kamwone doctor ata kusaidia afu jalibu kufanya mazoezi ya kupunguza mwili??

    ReplyDelete
  9. Nitafute kwenye fb,madevekanguvilla

    ReplyDelete
  10. Tutafutane kwenye fb pls:madevekanguvilla

    ReplyDelete
  11. Pole,wako madaktari wakaokusaidia

    ReplyDelete
  12. kamulia ndimu 2 dada yangu, au njo kwangu

    ReplyDelete
  13. Kama unaishi maeneo karibu na bahari ya maji ya chumvi fanya kawaida ya kwenda kuogelea kila siku ,kwani maji ya bahari ya chumvi huifanya hiyo sehemu kuwa kavu.jizuwie kufanya mapenzi kwa muda kiasi miezi 3 au zaidi utagunduwa matokeo yake na kama ni lazima ufanye mapenzi basi tumia makalio usiwambie wanaume wewe kuwa unaupeleka huko bila wao kujuwa

    Lakuvunda Halina Ubani :-))

    ReplyDelete
  14. kafie mbele kama vipi ongea na dawasco wakupe tenda ya kusambaza hayo maji watu tunataka kitu dry ujui siku hizi tunaunda mabondeni mimaji tutaloa kisha kesho tutanyimwa chumba.

    ReplyDelete
  15. nitafute nitakupa dawa sitanii dawa ninayo;0752843555

    ReplyDelete
  16. Nitafute mintarudi tu kama kwel unamaanisha.

    ReplyDelete
  17. Hao wote hawakupi ushauri wa kweli,kwa umri wangu hali hiyo sio mbaya ni nzuri why nasema hivyo wakati wa msuguano hakuna atakae umiaupo free lakini hiyo minato wanayotaka maranyingo rahisi kupata mchubuko kikubwa zaidi kabala hujafanya tendo la ndoa jitahidi kufanya usafi sehem husika kabla na baada ya shukhuli au kikubwa zaidi ni usafi,nahao wanao kukimbia hawakupendi wao wanachojali sexakini mambohayo yapo kwa wengi tu tena asilimia 90 wale wazuri kisura na mijishep

    ReplyDelete

Top Post Ad