Kimnana Aeleza Ugumu Kulea Bila Mwanaume

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


VIDEO Queen maarufu Bongo, Lilian Kessy ‘Kimnana’ amesema kuwa katika maisha yake, hakuwahi kuwaza kuwa single mama, lakini kumbe kuna wakati lazima ukubali kuwa unachopanga wewe hakiwi.

Mrembo huyo ambaye kwa sasa ni mama wa binti mmoja aitwaye Sky, amesema wanaume wana mambo mengi mpaka inafikia hatua unaona bora ulee mtoto wako mwenyewe.

“Kusema kweli sijawahi kuwaza kuwa single mama, lakini ndiyo imetokea. Asikwambie mtu, kulea mtoto peke yako ni kazi sana, lakini Mungu mwema maisha lazima yaendelee,” alisema Kimnana.

Japo mwenyewe hakutaka kuzungumzia lakini inadaiwa kuwa, bibie huyo ameachana na mzazi mwenzake, Tony Albert ambaye pia ni mtangazaji wa EATV.

STORI Memorise Richard
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad