AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hapo nyuma kuna picha na video zake zilisambaa akiwa amekonda na kudhoofu sana. Kuna waliosema anatumia madawa ya kulevya na wengine wakasema anajikondesha. Alisemewa vitu vibaya, kibinadamu ingekuwa nafasi yake ya kuitangazia dunia kujitetea kuhusu maradhi yake yaliyokuwa yakimtesa. Aliamua kuugulia kimya kimya mpaka mauti kumkuta.
ia tusiyojua, usiwe sehemu ya nyongeza ya maumivu. Nikukumbushe pia kuishi kwa ukamilifu, ukijitoa na kujisukuma kufanikisha unayoweza. Kama aliigiza kama King Tchalla, nafasi iliyomuhitaji kimwili kwa mazoezi magumu na kiakili kuzingatia mistari na uigizaji, akiwa mgonjwa wa Kansa, sisi tulio wazima, tuna kisingizio gani? Mungu atusaidie #RIP #WakandaForever
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK