AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa mbunge wa Kilombero kupitia chadema kabla ya kuhamia CCM, Peter Lijualikali amesema Ni kweli alipata kura 5 kwenye kura za maoni za kuwania Ubunge kupitia CCM lakini akasema si kweli kwamba alipata kura 2 za kugombea udiwani kama zinavyozagaa kwenye mitandao ya kijamii kwa kuwa hakugombea udiwani
Lijualikali amesema kwa Sasa anajuta kwa Nini alichelewa kuhamia CCM kutokana na upendo wanaomuonesha tangu alipohamia huko
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mfamaji haishi kutapatapa...
ReplyDelete