Lijualikali "Najuta Kwanini Nilichelewa Kuhamia CCM Kutoka CHADEMA...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Aliyekuwa mbunge wa Kilombero kupitia chadema kabla ya kuhamia CCM, Peter Lijualikali amesema Ni kweli alipata kura 5 kwenye kura za maoni za kuwania Ubunge kupitia CCM lakini akasema si kweli kwamba alipata kura 2 za kugombea udiwani kama zinavyozagaa kwenye mitandao ya kijamii kwa kuwa hakugombea udiwani

Lijualikali amesema kwa Sasa anajuta kwa Nini alichelewa kuhamia CCM kutokana na upendo wanaomuonesha tangu alipohamia huko
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad