Lulu Diva afunguka uhusiano wake na Lavalava

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Jana Kupitia big sunday live ya Wasafi Tv Msanii wa bono fleva Lulu Diva alitolea ufafanuzi Kuhusu story za yeye kuwa kwenye mahusiano na msanii mwenzake kutoka katika label ya WCB Wasafi Lavalava. 


Story hizi zilizokuja baada ya video za utata za wawili hao kuzagaa Mitandaoni ambazo zikiwaonyesha kuwa ni wapenzi. 


''Kwani Mtu Akiwa Na Ukaribu Na Mtu Kuna Mahusiano? Sio Kwamba wcb Nimemzoea LAVA LAVA Wote Na Washikaji Zangu Kwahiyo Na Hata Kwa Jana Kuonekana Nipo Nae Ni Kwasababu Tulikuwa Wote Kwenye Harusi Baada Ya Hapo Tulitoka Tukaenda Kwenye After Party Kwahiyo Sidhani Kama Ni Kitu Kibaya Na Mimi Kukaa Na Wanaume Ni Kitu Ambacho Ni Kawaida Kwasababu Kampani Yangu Kubwa Ni Ya Watoto Wakiume'' Lulu Diva.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad