Lyon yaiduwaza Man City na Kutinga Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Moussa Dembele aliingia uwanjani akitokea kwenye benchi la wachezaji wa akiba na kufunga mabao mawili ya dakika za mwisho wakati Lyon ikisababisha mshangao mwingine wa Ligi ya Mabingwa jana usiku, kwa kuiondoa Manchester City ya Pep Guardiola na ushindi wa mabao matatu kwa moja wa robo fainali mjini Lisbon.
City ilionekana kuwa kwenye mkondo sahihi wa kushinda mechi hiyo baada ya bao la Kevin De Bruyne katikati ya kipindi cha pili kulifuta bao la ufunguzi la Maxwel Cornet katika kipindi cha kwanza.

Lakini mambo yakaharibika wakati Dembele alipotumia makosa ya wachezaji wa City na kuipa Lyon ushindi. Lyon sasa itacheza nusu fainali Jumatano dhidi ya Bayern Munich.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad