Madee atoa neno baada ya Mr Blue kuanguka jukwaani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kufuatia tukio la Mr Blue kudondoka jukwaani kwenye tamasha alilofanya weekend iliyopita, msanii Madee Ali ametoa wazo kwa wasanii wengine kukata bima za maisha na afya zao na sio kukimbilia kukata bima za magari kwa sababu ya kuogopa kukamatwa na traffic.


Akiandika wazo hilo kupitia ukurasa wake wa Twitter, Rais huyo wa Manzese Madee ameeleza kuwa, "Nimeona video Herry Samir Mr blue ameanguka jukwaani, natoa pole kwa niaba ya wanamuziki wote, Mungu akusimamie urudi tena kazini".


"Ifike muda sasa wasanii mjikatie bima za maisha yenu, msikimbilie kukatia bima magari kisa unaogopa kukamatwa na traffic, hizi ajali za majukwaani zimekua nyingi siku hizi, hela uliolipwa unaenda kujitibia ni wazo tu " ameongeza Madee.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad