Maelfu waviacha vitanda na kuingia mtaani kuandamana kisa Messi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Maelfu ya mashabiki ya Barcelona waliacha vitanda vyao usiku wajana kuamkia leo Jumatano na kuingia barabarani kuandamana wakielekea Nou Camp wakionyesha msisitizo wao wa kutofurahishwa na namna bodi ya klabu hiyo inavyoshukhulikia sakata la legend wao Lionel Messi.


Hundreds of Barcelona supporters gathered outside the Nou Camp on Tuesday evening


Nyota huyo wa Argentina amefikisha maombi yake kwa uongozi wa Barcelona kutaka kuondoka baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa muda mrefu na mafanikio makubwa.


Fans were there to protest against the club's board and their treatment of Lionel Messi


Inadaiwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33 tayari ameshafanya mazungumzo na kocha mpya wa Barcelona, Ronald Koeman juu ya adhima yake ya kuondoka.


Fans are fearful of losing a legend after Messi told the club he wishes to leave this summer


Wakati sakata la Messi likizidi kushika vichwa vya habari ghafla kuna taarifa zimevuja kupitia Radio yakisikika mazungo kocha Ronald Koeman dhidi ya Luis Suarez juu ya hatma yake katika kikosi cha Barcelona hali iliyozidi kuzua taharuki.


A sign written on a bedsheet is strung up outside the stadium, calling for the board to resign


Suarez ambaye ni rafiki wa karibu na Messi, ni miongoni mwa wachezaji wanne ambao wameambiwa na kocha, Koeman kupitia mawasiliano ya simu kuwa hawahitaji ndani ya klabu.


Another supporter hold his head in his hands on a distressing night for Barcelona followers


Inadaiwa huwenda maamuzi ya kocha huyo wa zamani wa Everton kuwaambia Suarez na wenzake kuwa hawahitaji kikosini na watafute mlango wa kutokea inaweza kuwa sababu iliyochangia maamuzi ya Messi kuomba kundoka Barcelona.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad