AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika Mahojiano Aliyofanya C.E.O Wa Shishi Food Shilole Amefunguka Kuhusu Kutomjua Baba Yake Nakusema Kuwa Baba Yake Aliondoka Miaka Mingi Zamani Tangu Akiwa Anatambaa
"Mama aliniambia Baba yangu aliondoka nikiwa natambaa, hakurudi tena sasa hadi hafikisha miaka saba sikuwahi kumuona baba, hadi mama anafariki sikuwahi kumuona baba, sikuwahi kupata historia yoyote kuhusu baba, niliambiwa kuwa baba yangu yupo ila sijawahi kumuona anaitwa Mzee Mohammed Yusuf, nimekuja kujua juzi tu kama miaka mitatu iliyopita.'' Shilole
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK