Mama Amzika Mtoto wa Siku Moja Baada ya Mumewe Kumlaumu Kuzaa Nje

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwanamke mmoja nchini Kenya anatuhumiwa kumuua na kumzika mtoto wa siku moja baada ya kulaumiana na mume wake juu ya kupata mimba nje ya ndoa

Mume wa mwanamke huyo amekuwa mbali na mkewe kwa majukumu ya kikazi kwa zaidi ya mwaka na alishangazwa kusikia mkewe anatarajia kujifungua ambapo alimpigia simu kufahamu hilo

Mwanamke huyo aligundulika na shemeji yake ambaye alimripoti na walipombana alisema kuwa amemzika mtoto huyo kwenye shamba la mihogo, lililokuwa karibu na nyumbani kwao

Mtoto huyo amezikwa kwa mara ya pili kwa heshima, na mwanamke huyo amekimbia baada ya kujua kuwa anatafutwa

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad