AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamke mmoja nchini Kenya anatuhumiwa kumuua na kumzika mtoto wa siku moja baada ya kulaumiana na mume wake juu ya kupata mimba nje ya ndoa
Mume wa mwanamke huyo amekuwa mbali na mkewe kwa majukumu ya kikazi kwa zaidi ya mwaka na alishangazwa kusikia mkewe anatarajia kujifungua ambapo alimpigia simu kufahamu hilo
Mwanamke huyo aligundulika na shemeji yake ambaye alimripoti na walipombana alisema kuwa amemzika mtoto huyo kwenye shamba la mihogo, lililokuwa karibu na nyumbani kwao
Mtoto huyo amezikwa kwa mara ya pili kwa heshima, na mwanamke huyo amekimbia baada ya kujua kuwa anatafutwa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK