Manara Atoa Mpya "Ipigwe Mechi Moja Kati ya Simba na Yanga, Atakayeshinda Amchukue Morrison"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya Sintofahamu inayoendelea kwa muda sasa kuhusu Sakata la Mchezaji Bernard Morison , Msemaji wa Simba Sports Club Haji Manara ameamua kutoa ushauri utakao saidia kumaliza utata uliopo .

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Haji Manara ameshauri ichezwe mechi kati ya Simba na Yanga na mshindi katika mechi hiyo ndio akabidhiwe Mchezaji huyo
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad