AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya Sintofahamu inayoendelea kwa muda sasa kuhusu Sakata la Mchezaji Bernard Morison , Msemaji wa Simba Sports Club Haji Manara ameamua kutoa ushauri utakao saidia kumaliza utata uliopo .
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Haji Manara ameshauri ichezwe mechi kati ya Simba na Yanga na mshindi katika mechi hiyo ndio akabidhiwe Mchezaji huyo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK