Masai Laizer Sio Mchezo Aisee, Kuuza Jiwe la Tatu la Tanzanite Lenya Thamani ya Mabilioni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mamia ya Watanzania wamejitokeza katika migodi ya mirerani iliyopo mkoani Manyara nchini Tanzania kushuhudia mnada wa madini ya Tanzanite, ambapo mchimbaji maarufu Saniniu Laizer anatarajiwa kuuza jiwe la kilo 6.3.

Hii ni mara ya pili katika kipindi kisichozidi miezi miwili ambapo mchimba madini huyo kugundua mawe makubwa zaidi ya madini hayo yanayopatikana kaskazini mwa Tanzania tu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad