AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dar: Msanii wa Bongo Fleva, Richard Martin ‘Rich Mavoko’ amesema siyo kweli kwamba ana uhusiano wa kimapenzi la mwenzake, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’.
Mavoko au Messi wa Bongo Fleva, ameliambia Gazeti la IJUMAA kuwa, ukaribu wake na Lulu Diva ndiyo ulisababisha watu kuanza kuzungumza hayo, lakini hakuna jambo kama hilo.
“Maisha yangu yamekuwa ‘private’ sana tangu nianze muziki ndiyo maana watu wanajua ni Lulu Diva kwa sababu nilikuwa naye karibu, lakini siyo mpenzi wangu, sipendi kuweka mapenzi yangu hadharani,” amesema Mavoko.
Stori: Imelda Mtema. Ijumaa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK