AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga SC, Wakili Patrick Simon akimkabidhi jezi namba 19 mshambuliaji mpya Mghana, Michael Sarpong baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kutoka Rayon Sports ya Rwanda,Jezi hiyo imeshawahi kuvaliwa na Herieth Makambo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK