google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Michelle Obama "Silali Usiku Sababu ya Utawala Mbovu wa Donald Trump" | UDAKU SPECIAL

Michelle Obama "Silali Usiku Sababu ya Utawala Mbovu wa Donald Trump"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

"Ninaamka usiku wa manane kwasababu nina wasiwasi juu ya kitu fulani au nawaza kuhusu mzigo mzito ninaoubeba moyoni.

"Huu sio wakati mzuri, kiroho. Najua ninakabiliana na kiwango fulani cha sonona.

"Sio tu kwasababu ya karantini, lakini kwasababu ya ubaguzi wa rangi, na kushuhudia tu utawala huu wa Donald Trump, na kutazama unafiki ndani yake, kila uchao, kunavunja moyo."

Mke wa rais mstaafu wa Marekani Barack Obama, Michelle Obama amekiri kuwa anaugua sonona (Depression).

Michelle anasema anapitia matatizo na amekuwa na changamoto ya kuendeleza ratiba yake ya kufanya mazoezi ya viungo na kulala.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad