AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Huu sio wakati mzuri, kiroho. Najua ninakabiliana na kiwango fulani cha sonona.
"Sio tu kwasababu ya karantini, lakini kwasababu ya ubaguzi wa rangi, na kushuhudia tu utawala huu wa Donald Trump, na kutazama unafiki ndani yake, kila uchao, kunavunja moyo."
Mke wa rais mstaafu wa Marekani Barack Obama, Michelle Obama amekiri kuwa anaugua sonona (Depression).
Michelle anasema anapitia matatizo na amekuwa na changamoto ya kuendeleza ratiba yake ya kufanya mazoezi ya viungo na kulala.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK