Mji Wenye Baiskeli Nyingi Zaidi ya Idadi ya Wakazi Ujerumani...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Munster ni mji ulioko Magharibi mwa Ujerumani, unaofahamika kwa kubeba majengo ya kihistoria na una idadi kubwa ya baiskeli ambayo ni mara mbili zaidi ya idadi ya wakazi

Kutokana na wingi wa baiskeli, kumetengwa maeneo ya maegesho katika maeneo mbalimbali. Kama haumiliki baiskeli katika mji huu jamii hukushangaa

Inasemekana watu wanamiliki baiskeli zaidi baada ya kuitikia wito wa kutunza mazingira, kwani magari na vifaa vingine vya moto hutoa gesi hatari kwa mazingira
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad