Mkwassa Apigwa Chini Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kamati ya ufundi ya klabu ya Yanga imefanya mabadiliko kwenye benchi la ufundi la kalbu hiyo kwa kuacha na kocha msaidizi Boniface Mkwassa na kuwapangia majukumu mengine baadhi ya watendaji wa benchi hilo.

Uamuzi wa Yanga umetangazwa leo na mwenyekiti wa kamati hiyo Dominick Albunis kwa lengo la kuleta mabadiliko ya kiundetaji wa klabu hiyo.

Kwenye taarifa iliyotolewa na Yanga wengine walitolewa kwenye benchi la ufundi ni kocha wa makipa Peter Manyika na meneja wa timu Abeid Mziba, kit manager Fred Mbuna ambao kwa pamoja watapangiwa Majukumu mengine.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad