Mpenzi Wangu Akitongozwa na Wanaume Ananiambia Hii ni Sawa?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



*Wadau wa Udaku , Naomba mnipe mwongozo kwa hili la mpenzi wangu.
 *Kuna mambo mawili yamejitokeza hv karibuni:

 * kwanza, juzi alinipigia simu[hatuko mkoa mmoja, anasoma] na katika maongezi akasema kuwa X-boy wake kampigia simu nanukuu.."eti kanipigia simu, nikamuuliza leo umekumbuka nini?....akaniambia eti anakuja huku[alipo huyu demu] mm nikamwambia nasafiri, sitakuwepo"

  *Pili, jana kaniambia "mpenzi kuna sms zinachekesha...ngoja nikuforwadie...sms 1 ilisomeka "nakuhitaji"....
Sms ya Pili ipo hv.."leo umependezaa, nataka nije kwako"..hz sms anadai katumiwa na mshikaji anayeonyesha kumtaka kimapenzi

    *Hapa najiuliza ana maana gani kwa haya?

    #Naombeni mniambie, na kufafanua haya.

    Asanteni sana
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad