AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya @officialalikiba kufika KIGOMA na kuusimamisha mji kwa masaa kadhaa na shughuli za Kigoma kusimama kupisha mapokezi ya @officialalikiba na wasanii wenzake kama @marioo_tz @bilnassofficial @tommyflavour @officialabdukibaa @rhinoking_ na @abbyskillz_tz mashabiki waliona ni vyema kuwasindikuza wasanii wao mpaka hotelini.
Na hivi ndivyo ilivyokuwa baada ya @officialalikiba kwenda #Live kupitia Instagram yake, shuhudia msafara kwa ukaribu zaidi.
Bongo5 tupo hapa Kwa ajili ya kukuletea kila kinachoendelea kutoka Kigoma kuanzia mwanzo wa tukio mpaka mwisho wa tukio kaa karibu nasi kushuhudia matukio yote na @officialalikiba shughuli ndio kwanza inaanza.
VIDEO:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK