AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkali wa Filamu Bongo, Daud Michael maarufu 'Duma' amefunga ndoa Ijumaa hii na mpenzi wake anaetajwa kuwa wa muda mrefu ambaye sasa amekuwa mkewe rasmi.
Duma na mkewe wamefunga ndoa hiyo kwa dini ya kiislamu na kuhudhuriwa na watu wake wa karibu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK