AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumpitisha kuwa Mgombea Ubunge, msanii Hamisi Mwijuma maarufu kama @Mwanafa jana amechukua fomu ya kugombea Ubunge kwenye Jimbo la Muheza mkoani Tanga huku akisindikizwa na mamia ya wakazi wa mji huo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK