AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jana (August 24) Akon ameyarudia tena maneno yake kwenye mahojiano na Vlad TV, amesema alishindwa kumsaini Drizzy kwa sababu alikuwa anasikika (sound) kama Eminem
-
"Kardinal Offishall alimleta Drake kwangu mwaka 2005, ilikuwa kabla ya Best I Ever Had haijatusua, kilikuwa ni kile kipindi cha watu wengi wanaachia Mixtape, kwa muda ule amini usiamini, Sauti ya Drake kwenye nyimbo zake, ilisikika kama Eminem." amesema Akon.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK