Mwimbaji R. Kelly Ashushiwa Kipigo Cha Nguvu na Mfungwa Mwenzake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwimbaji R. Kelly ameripotiwa kupigwa na mfungwa mwenzake wakiwa gerezani. Taarifa kutoka mtandao wa TMZ zimeripoti kwamba mfungwa mmoja aliingia kwenye chumba cha Kellz na kuanza kumshushia kipigo kizito.

Hii inadaiwa kuchochewa na maandamano ya wafuasi wa Kellz ambayo yanaendelea nje ya gereza hilo la Metropolitan mjini Chicago. Maandamano hayo yanadaiwa kuwakera wafungwa wengine kwani wamekuwa wakifungiwa ndani kutokana na sababu za kiusalama.

Kipigo hicho kimetajwa kudumu kwa dakika chache na kwa sasa anapokea matibabu toka kwa madaktari ambaye amesema hajaumia kwa kiasi kikubwa au kuvunjika mfupa wowote.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad