AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hii inadaiwa kuchochewa na maandamano ya wafuasi wa Kellz ambayo yanaendelea nje ya gereza hilo la Metropolitan mjini Chicago. Maandamano hayo yanadaiwa kuwakera wafungwa wengine kwani wamekuwa wakifungiwa ndani kutokana na sababu za kiusalama.
Kipigo hicho kimetajwa kudumu kwa dakika chache na kwa sasa anapokea matibabu toka kwa madaktari ambaye amesema hajaumia kwa kiasi kikubwa au kuvunjika mfupa wowote.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK