Nape Nnauye Atoa Mpya "Kwenye Siasa Ukiona Unapiga Kelele Hujibiwi Kinachofuata ni Majanga"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye, amesema kwenye siasa ukiona unapiga kelele hujibiwi unatakiwa kufikiri mara mbili.

Nape aliandika ujumbe huo leo katika ukurasa wake wa kijamii wa Twitter ” Ni sawa na draft ukiona unaruhusiwa kula tu, kinachofuata inawea kuwa majanga,”.

Kiongoi huyo ambaye alishawahi kuwa Katibu wa Itikati na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM)  aliandika ujumbe huu “Kwenye siasa ukiona unapiga kelele hujibiwa fikiri mara mbili! Ni sawa na draft ukiona unaruhusiwa kula tu, kinachofuatia inaweza kuwa ni majanga,”.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad