'Nikipata Urais Makahaba na Mashoga Wataenda JELA Miezi Sita na Kuchapwa Viboko 200" Mgombea Urais

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Kijamii (CCK) amesema mashoga, wasagaji na makahaba wanatia aibu nchi

Kama atapata Urais atatunga sheria ambayo watu wa makundi hayo watakuwa wanachapwa viboko 200 na wataenda jela miezi sita

Kitu kingine atakachosimamia ni kuhakikisha vyombo vya habari vinakuwa huru na mafisadi na watakatishaji pesa wataenda jela miaka 50 na kupigwa viboko 200

Kuhusu gharama za kampeni chama hiko hakipati ruzuku kwa kuwa hakina Wabunge hivyo, gharama za kampeni hutokana na michango ya ndugu, jamaa na marafiki
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad