AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Kijamii (CCK) amesema mashoga, wasagaji na makahaba wanatia aibu nchi
Kama atapata Urais atatunga sheria ambayo watu wa makundi hayo watakuwa wanachapwa viboko 200 na wataenda jela miezi sita
Kitu kingine atakachosimamia ni kuhakikisha vyombo vya habari vinakuwa huru na mafisadi na watakatishaji pesa wataenda jela miaka 50 na kupigwa viboko 200
Kuhusu gharama za kampeni chama hiko hakipati ruzuku kwa kuwa hakina Wabunge hivyo, gharama za kampeni hutokana na michango ya ndugu, jamaa na marafiki
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK