Nimekuta Picha za Utupu za Girlfriend Wangu Kwenye Simu yake...Ushauri Please

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jamani Wapendwa ya Leo imenikalia Pabaya  yaani, My girl kaja kulala kwangu ili leo tusherekee wote hii siku kuna mahali tunaenda out of Town, ila sasa asubuhi ya leo wakati tunajiandaa nikachukua simu yake nikawa nampiga picha alivyopendeza baada ya kuvaaa sasa katika kuziangalia zile picha nikakutana na picha zingine za utupu alizopiga like one week ago, Sasa najiuliza hizo picha alipiga kwa ajili ya nani je alimtumia mtu maana kama ni mimi hakunitumia, nimemuuliza anasema alijipiga kujifurahisha, Nikajiongeza nikaenda kwenye File Manager kule nikazikuta kwenye sent upande wa Whats Images ila haionyeshi aliyetumiwa..Yaani hapa niko nae ila kama simwamini tena jamani naombeni ushauri.

By Lewis
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad