AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jamani nasumbuliwa na shemeji yenu ndoa hii ina tabu sana nimevumilia mpaka basi , Jana Mume Wangu karudi nyumbani saa nne usiku amelewa chakari , akajilaza tu kitandani na suti yake , nikaamua nimvue ili alale vizuri , cha kushangaza wadau nikakuta hana Nguo ya Ndani Bukta ama Boxer ambayo alivaa asubuhi baada ya kumpigia pasi....
Sasa nimebaki najiuliza maswali mengi ilikuwaje akaivua na alienda tu kazini na jioni aliniambia anapata moja mbili na marafiki zake?
Bado sijamuuliza nini kilitokea ila naombeni ushauri nifanyaje?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK