Pambano Mike Tyson dhidi ya Roy Jones Jr. lasogezwa mbele

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



 Pambano la bingwa wa zamani wa ngumi uzito wa juu, Mike Tyson dhidi ya Roy Jones Jr. limesogezwa mbele hadi Novemba 28.


#Tyson mwenye umri wa miaka 54, ambaye alitawala ndondi za uzito wa juu kwa takriban miaka 20 ybaada ya kutwaa taji la dunia mwaka 1987, alitarajiwa kupigana na mpinzani wa umri wa miaka 51- Jones katika pambano la Raundi la Nane Jijini California Septemba 12.



Gwiji huyo na bingwa wa dunia asiyepingika wa uzito wa juu enzi hizo, Tyson atarejea ulingoni baada ya miaka 15 tangu astaafu.



Jones alipigana kwa mara ya mwisho mwaka 2018 wakati Tyson mara ya mwisho alipanda ulingoni miaka 15 iliyopita alipopigwa na Kevin McBride.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad