AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kinachomuumiza na kumsikitisha ni kumaliza utumishi wake bila ya kuwapima wakazi wa Dar tezi dume.
"Katika vitu ninavyojutia, vipo vingi, ila hichi cha kuondoka bila kuwapima tezi dume nyumba kwa nyumba, mlango kwa mlango, linaniumiza sana," amesema na kuongeza
"Inanitesa sana, watu wanaona aibu kupima, lakini ukienda hospitali utaona wagonjwa wanavyoteseka. Laiti ningepata nafasi nyingine nitafurahi sana ili nitekeleze hili," Makonda
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK