Paul Makonda "Naumia Sijawapima Tezi DUME Wanaume wa Dar"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kinachomuumiza na kumsikitisha ni kumaliza utumishi wake bila ya kuwapima wakazi wa Dar tezi dume.

"Katika vitu ninavyojutia, vipo vingi, ila hichi cha kuondoka bila kuwapima tezi dume nyumba kwa nyumba, mlango kwa mlango, linaniumiza sana," amesema na kuongeza

"Inanitesa sana, watu wanaona aibu kupima, lakini ukienda hospitali utaona wagonjwa wanavyoteseka. Laiti ningepata nafasi nyingine nitafurahi sana ili nitekeleze hili," Makonda
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad