Prof Jay "Mikumi Stand Up, Nimechukua Rasmi Fomu ya Kugombea Ubunge"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii na Mbunge aliyemaliza muda wake Prof Jay, ametaka kuongeza muda wa kuendelea kuongoza Jimbo la Mikumi baada ya kutangaza kuchukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).


Mbunge wa Jimbo la Mikumi aliyemaliza muda wake Prof Jay akichukua fomu ya kugombea tena Ubunge kwenye Jimbo hilo.

Prof Jay ametangaza hilo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram ambapo ameandika kuwa

"Mikumi stand up, nimechukua rasmi fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Mikumi kupitia chama chetu cha CHADEMA, safari ndiyo imeanza rasmi eehh Mwenyezi Mungu nisaidie" ameandika Prof Jay 

Prof Jay ameongoza Jimbo hilo la Mikumi kwa miaka mitano iliyopita ambapo kwa mara ya kwanza aligombea Jimbo hilo mwaka 2015 na akashinda.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad