AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Sijatania na huu sio mzaha, niko serious, kuna Watu baada ya kauli yangu eti wananiita kichaa mara wanasema mimi mpumbavu, kama mimi mpumbavu mbona Urais nimepewa mimi na haujapewa wewe unayejiona una akili timamu!?, nimeongea ukweli kama unakosa kemikali za kuua wadudu kwenye barakoa hasa kwa masikini nenda kwenye kituo cha petrol au diesel na uisafishe barakoa yako hasa zile za vitambaa” -Rais Duterte
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK