AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Soma Baadhi ya Comments wadau walivyomkatalia:
Zamani wanawake wa jinga ndo wali kuaga na bomoa nyumba zao kwa mikono Yao wenyewe but kwa sasa imeshaa geuka’ wanaume wajinga hu bomoa nyumba zao kwa ku chepuka kwao ‘ volume ina tosha? Na pita tu
Enyi wanaume ishini na wake zenu kwa akili, (basi aliyeshindwa kuishi na mkewe maana yake hana akili)
Kaka wew ni mwanaume mkuu mambo ya mipasho waachie wanawake,kama nyumba inawaka moto mwite huyo mjinga tafuta wazee wenye busara wajaribu kuwasuluhisha
embu toeni hiko kimovie chenu bwana mstusumbue sisi
Mjinga ni ww ambae huna hata haya mwanamke kakuzalia mtoto mzr bd unamsaliti mbwa ww ambae huna hata kiwanja unaishi kwenu
maandiko yanasema wanaume ishini na wanawake zenu kwa akili kwahyo yeye kashindwa kuishi na mkewe kwa akili basi hana akili #SautiInatosha
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK