Rekodi Aliyovunja Boss wa Facebook Kwa Watu Wenye Umri Mdogo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkurugenzi wa Mtandao wa Facebook, Mark Zuckerberg mwenye miaka 36 amekuwa mtu wa tatu duniani na mtu mwenye umri mdogo zaidi utajiri wake kuvuka Dola Billioni 100.

Miaka 16 tangu alivyouanzisha mtandao wa ‘Facebook’ akiwa shuleni, Mark Zuckerberg anaungana na mwanzilishi wa Amazon, Jeff Bezos na Mwanzilishi wa Microsoft, Bill Gates kwenye Centibillionaire Club.

Utajiri wa Mark Zuckerberg unatajwa kuongezeka baada ya Instagram kuanzisha feature mpya ya Reels ambayo inahuduma kama za mtandao wa Tik-Tok ambao upo hatiani kufungwa nchini Marekani.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad