AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Rich Mavokoametangaza ujio wake mpya baad aya kukaa kimya kwa takribani miezi kumi (10) baada ya kuachia ngoma ya Babilon.
Ikumbukwe Mavoko kukaa kimya kwake huku inaelezwa alikuwa jikoni akiandaa ngoma ambazo inaelezwa zitakuja kuonyesha mabadiliko makubwa sana kwenye muziki na hasa kwake Ric Mavoko.
Mavoko ametangaza kuja na Mintape yaani mfano wa EP yenye nyimbo chache.
I MISSED ALL MY PEOPLE
Just keep the date on your mind.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK