Sabilo wa Polisi Tanzania asaini Namungo FC

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


SIXTUS Sabilo, mshambuliaji aliyekuwa anakipiga ndani ya Polisi Tanzania ametambulishwa leo Agosti 15 ndani ya Namungo FC kwa dili la mwaka mmoja.

Sabilo alikuwa kwenye hesabu za kuibukia Yanga ambao walimuahidi kumfuata baada ya ligi kuisha ila ligi ilipoisha mambo yakabadilika.


Mkataba wake wa mwaka mmoja ndani ya Polisi Tanzania inayonolewa na Malale Hamsini umekwisha hivyo amejiunga Namungo akiwa mchezaji huru.

Amesaini dili la mwaka mmoja kwa kikosi cha Namungo chenye maskani yake Lindi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad