AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shamsa Ford ni miongoni mwa walioalikwa kwenye uzinduzi wa video mpya ya Shilole usiku wa kuamkia leo na amefunguka kuwa ameipenda video hiyo.
Shamsa amempongeza pia Shilole baada ya kusema ukweli kuhusu vipigo alivyowahi kuvipata kutoka Kwa aliyekuwa Mume wake ambapo ameeleza kuwa Shishi alikuwa akimueleza kuhusu matatizo yake na alikuwa akimpa ushauri kwani yeye pia ni miongoni mwa waliopitia maisha hayo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK