AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki @officialshilole ameomba radhi kwa wale waliokwazika na kauli yake dhidi ya msanii mwenzake @snuramushi ambayo aliitoa na kuzua gumzo.
Shilole amedai alikuwa anatoa dukuduku lake na alifanya hivyo ila kama kuna mtu amekwazika basi anaomba msamaha.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK