google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Shilole "Baba Levo Akishaka SIMU yangu Anaingia Asipotakiwa Kuchunguza Nimempata Nani" | UDAKU SPECIAL

Shilole "Baba Levo Akishaka SIMU yangu Anaingia Asipotakiwa Kuchunguza Nimempata Nani"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii mwenye ushawishi mkubwa kwa sasa Shilole amefunguka kuwa msanii Baba Levo amekuwa akishika simu yake mara kwa mara kumchunguza kama amepata mwanaume mwingine.

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital amesema, Baba Levo simu yake huwa haina bundle,  hivyo hutumia ya kwake ambapo akishaichukua anakuaga ujumbe wa kawaida na ujumbe wa Instagram "DM" ili kujua kama amepata mwanaume mwingine anayewasiliana naye.

"Mimi na Baba Levo tumezoeana sana, mara nyingi huwa anapoteza simu na simu yake inakuwa haina  vifurushi hivyo anataka kuingia Instagram aone, kwa hiyo nikimpa simu yangu huwa anaanza kukagua ili kujua nimempata nani au wakina nani wanatuma meseji za kutaka usajili mpya, bahati nzuri sina mambo mabaya kwenye simu yangu" ameeleza Shilole

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad