AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Timu ya wanawake ya Simba, Simba Queens imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara ikiwa na mechi mbili mkononi baada ya kuibugiza Baobab Queens 5-0 katika mchezo wa leo na kufikisha pointi 53 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK