AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Snura Mushi amesema amesikitishwa sana na kitendo cha Shilole 'kumnanga' kwenye mkutano wa Girl Power hapo jana.
Snura ametoa kauli hiyo katika kipindi cha uhondo ndani ya EFM na kusema kitendo kile kilikuwa cha udhalilishaji na chuki dhidi yake huku akisema kwamba Shilole amewahi kufanya hivyo (kumsema hadharani) mara nyingi huko nyuma.
"Natamani kumuuliza kwa nini ananichukia, kwa nini alitengeneza ile stori wakati mimi sijasema apigwe tu?. " Snuramushi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK