Snura "Shilole Amenidhalilisha Sana Jana, Natamani Kumuuliza Kwa nini Ananichukia?"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa muziki wa kizazi kipya Snura Mushi  amesema amesikitishwa sana na kitendo cha Shilole 'kumnanga' kwenye mkutano wa Girl Power hapo jana. 

Snura ametoa kauli hiyo katika kipindi cha uhondo ndani ya EFM na kusema kitendo kile kilikuwa cha udhalilishaji na chuki dhidi yake huku akisema kwamba Shilole amewahi kufanya hivyo (kumsema hadharani) mara nyingi huko nyuma. 

"Natamani kumuuliza kwa nini ananichukia, kwa nini alitengeneza ile stori wakati mimi sijasema apigwe tu?. " Snuramushi 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad